Habari za Punde

MAANDAMANO YA KUADHIMISHA MWAKA MPYA WA KIISLAM

KATIBU wa Ofisi ya Mufti Zanzibar Shekh Fadhil Soraga akitowa hadithi ya Mwaka wa Kiislam kwa Waumuni wa Dini ya Kiislamu waliohudhuria sherehe za kuukaribisha mwaka wa Kiislam zilizofanyika kiwanja cha Kisonge, Michezani.

BAADHI ya Waislamu waliohudhuria sherehe za maadhimisho ya Mwaka wa Kiislam wakisikiliza mawaidha. 
WANAFUNZI wa Madrasat mbalimbali waliohudhuria sherehe za kuadhimisha mwaka wa Kiislam leo  duniani katika viwanja vya Kisonge Michezani  

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.