MKE wa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mama Awena Seif Shariff (kushoto)akimkabidhi Naibu Waziri wa Afya Dk. Sira Ubwa Mamboya msaada wa Vifaa vya Hospitali kwa ajili ya Hospitali ya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja, Vifaa hivyo vimetolewa na Umoja wa Kinamama wa CUF.(Picha na AMKR)
WADAU WAPONGEZA JUHUDI ZA WAZAZI KUTATUA CHANGAMOTO ZA ELIMU WILAYA YA
MPIMBWE
-
*Sehemu ya wazazi wakiwa katika mikutano na washiriki wa Maadhimisho ya
Juma la Elimu (GAWE) 2025, kwenye ziara katika shule mbalimbali ndani ya
Halma...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment