MKE wa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mama Awena Seif Shariff (kushoto)akimkabidhi Naibu Waziri wa Afya Dk. Sira Ubwa Mamboya msaada wa Vifaa vya Hospitali kwa ajili ya Hospitali ya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja, Vifaa hivyo vimetolewa na Umoja wa Kinamama wa CUF.(Picha na AMKR)
WASIRA: Nchi Ipo Salama Waambieni Watanzania Wakapige Kura *Amesisitiza
kuchagua viongozi sahihi *Kura za urais apewe Dk. Samia wa CCM
-
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Stephen Wasira akizungumza na
viongozi wa CCM wilayani Bariadi Mkoa wa Simiyu,Oktoba 18, 2025.
Na Mwandishi Wetu, ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment