WADAU wa wakifuatilia Habari ya Kifo cha Osama kupitia vichwa vya magazeti mbalimbali katika moja ya kituo cha kuuzia magazeti Darajani.
HIVI ndivyo uilivyo kwa wadau wa habari wa Zanzibar wakifuatilia habari za kifo cha Osama kupitia magazeti yanayochapishwa habari hizo.
No comments:
Post a Comment