Habari za Punde

BREAKING NEWS: MELI YA MV SPICE ISLANDER YAZAMA MKONDO WA NUNGWI



INNAA LILAHI WAINNAA ILAYHI RAAJI'UNN

Taarifa tulizozipokea ni kwamba Meli ya Spice Islands imezama ikiwa safarini kuelekea Pemba kutoka Unguja maeneo ya Nungwi Saa tisa za usiku.

Meli hii ambayo hubeba abiria na mizigo inasemekana ilikuwa na abiria 610 waliosajiliwa na hadi hivi sasa hatuna habari ya kama kuna watu waliookolewa. 

Tutawajuulisha zaidi tutakapopata taarifa 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.