Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Marta Santos Pais, Mwakilishi maalum wa Katibu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na harakati za kutokomeza unyanyasaji wa watoto, wakati alipofika ofisini kwake Ikulu Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo kuhusu ripoti ya unyanyasaji wa watoto inayohusu hali ya Tanzania na inayotarajiwa kuwasilishwa rasmi hivi karibuni (Jumanne, Septemba 2011. Picha na Muhidin Sufiani-OMR).
MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR- KUKUTANA NA WALIMU WA MADRASA WANAWAKE-
JIMBO LA KIWANI
-
Mgombea wa Uwakilishi Jimbo la Kiwani ndugu Hemed Suleiman Abdulla
akizungumza na kuomba kura kwa walimu wanawake wa madrasa waliomo katika
kijiji cha Mw...
10 minutes ago


No comments:
Post a Comment