Habari za Punde

MAZIKO YA MAULID HAMAD MAULID KESHO - KUZIKWA BUMBWINI

Kwa habari zilozotolewa na Familia ya Marehemu.

Maziko ya Mwandishi wa Habari wa Kituo cha Television cha ITV na Nipashe Zanzibar, Maulid Hamad anatarajiwa kuzikwa kesho kijijini kwao Bumbwini Misufini saa nne Asubuhi, maiti itaondokea Msikiti mpya wa Kwamchina.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.