KITUO cha gari za abiria cha Soko Kuu la Chakechake Pemba ambacho kilikiwa na msongamano na Wafanyabiashara mbalimbali na kuwa kero kwa watumiaji wa kituo hicho, kwa sasa Baraza la Manispaa la mji wa Chake, imebidi kuwondoa wafanyabiashara na kuwa na hudumo moja tu ya kushusha abiria tu.
BREAKING: MCHEZAJI WA LIVERPOOL DIOGO JOTA AFARIKI DUNIA
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
MSHAMBULIAJI wa timu ya Liverpool na timu ya taifa ya Ureno Diego Jota
amefariki dunia kufuatia ajali mbaya ya gari iliyoto...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment