KITUO cha gari za abiria cha Soko Kuu la Chakechake Pemba ambacho kilikiwa na msongamano na Wafanyabiashara mbalimbali na kuwa kero kwa watumiaji wa kituo hicho, kwa sasa Baraza la Manispaa la mji wa Chake, imebidi kuwondoa wafanyabiashara na kuwa na hudumo moja tu ya kushusha abiria tu.
KAMONGA ACHUKUA FOMU TUME
-
Baada ya uteuzi wa wagombe ubunge wa uliofanyika siku ya Jana na
halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)Taifa, Mbunge wa Jimbo la
Ludewa Adv. Joseph Z...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment