KITUO cha gari za abiria cha Soko Kuu la Chakechake Pemba ambacho kilikiwa na msongamano na Wafanyabiashara mbalimbali na kuwa kero kwa watumiaji wa kituo hicho, kwa sasa Baraza la Manispaa la mji wa Chake, imebidi kuwondoa wafanyabiashara na kuwa na hudumo moja tu ya kushusha abiria tu.
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Yapokea Karatasi za Kupigia Kura Uchaguzi
Mkuu 2025
-
Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Thabit Idarous Faina
(kushoto) akisaini hati za makabidhiano ya Karatasi za Kupigia Kura na
Mkurugenzi Mte...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment