MSHAMBULIAJI wa timu ya Taifa ya Zanzibar Ali Badru akiondoka na mpira huku akikabwa na mlinzi wa timu ya Burundi Kaze Gilbert katika pambano la kuwania kombe la Tusker Challenge lililochezwa jana uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Timu hizo zilitoka sare ya 0 - 0.
Matokeo ya Mechi Zanzibar Heroes na Burundi Amavubi
Benchi la Timu ya Zanzibar likiangalia mchezo unaoendelea kati ya Timu ya Zanzibar na Burundi ambapo timu hizo zilishindwa kufungana
Kocha Msaidizi Abdilatif Abass (kulia) akipeana ushauri na Kocha Mkuu Hemed Suleima (Morocco)O)
Mwamuzi kutoka Rwanda Hudu Munyemana akimtaka Nahodha wa Burundi Ndikumana Yamini kuchagua upande wa shilingi huku Nahodha wa Zanzibar Nadir Haroub ( Cannavaro) akishuhudia.
Picha zote na Haroub Hussein
No comments:
Post a Comment