MKURUGENZI wa Huduma za Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) Said Mohamed Said kushoto,akimkabidhi mfano wa hundi ya Shiligi Milioni Saba na Laki tano,Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara ya Utalii Zanzibar (ZATI) Ahmed Abdulswamad kwa ajili ya kudhamini mkutano mkuu wa chama hicho unaotarajiwa kufanyika wiki ijayo hapa Zanzibar.
SERIKALI IMETOA BIL 424.6 UTEKELEZAJI MIRADI YA TANRODS RUKWA-ENG MWANGA
-
Katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan imetoa
zai...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment