Wanafunzi wakichezea maji ya Mvua katika maeneo ya Amani, wakati wakitoka Skuli, baada ya kumalizika kwa mvua iliokuwa ikinyesha kwa muida wa dakika 45 na kusababisha kujaa kwa maji katika eneo hilo na kufanya mchezo bila ya kujali afya yao.
WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI YAZINDUA CHANJO ZA MIFUGO MKOANI GEITA
-
Na Nasra Ismail
Wizara ya ufugaji na uvuvi leo imezindua chanjo ya homa ya mapafu kwa
ngombe mkoani Geita pamoja na kuzindua zoezi la uvikwaji wa hereni ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment