Mwenyekiti wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar, Profesa Chris Maina Peter (Kushoto) akisisitiza Jambo Katika Mazungumzo Yake na Kaimu Mkurugenzi Wa Kituo Hicho, Harusi Miraji Mpatani Baada ya Mazungumzo na Jaji Mkuu wa Zanzibar, Omar Makungu wa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud katika kuimarisha mahusiano na Taasisi hizo za Sheria.
BABA LEVO NI HABARI NYINGINE KIGOMA, ATUMIA DAKIKA 10 KIBABE MBELE YA
DK.SAMIA
-
*Azungumza yaliyofanywa na Rais Dk Samia Kogoma ,aitaja mifupa migumu
*Asema kwa Kigoma Mjini saa tano asubuhi tu anakabidhi jimbo kwa Dk.Samia
*Aomba b...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment