Mwenyekiti wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar, Profesa Chris Maina Peter (Kushoto) akisisitiza Jambo Katika Mazungumzo Yake na Kaimu Mkurugenzi Wa Kituo Hicho, Harusi Miraji Mpatani Baada ya Mazungumzo na Jaji Mkuu wa Zanzibar, Omar Makungu wa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud katika kuimarisha mahusiano na Taasisi hizo za Sheria.
RAIS MWINYI AONGOZA KIKAO KAZI CHA MAWAZIRI NA MAKATIBU WAKUU
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali
Mwinyi, ameongoza Kikao Kazi kilichowajumuisha Mawaziri, Naibu Mawaziri,
Makatibu W...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment