Habari za Punde

Dk Shein Akutana na Balozi wa Misri Nchini

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Balozi wa Misri nchini Tanzania Hassan Moharam,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar jana, kwa ajili ya kujitambulisha kwa Rais
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akizungumza na Balozi wa Misri nchini Tanzania Hassan Moharam,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar jana,kwa ajili ya kujitambulisha kwa Rais.

Picha na Ramadhan Othman, Ikulu

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.