Mdau unakumbuka zile enzi za maji haya yalivyokuwa? nsa kujaza watoto wengi katika maeneo haya kwa kutazama maji ya ragi yalivyokuwa yakipendeza kwa rangi mbalimbali na kupamba Magorofa ya michezani na round abuot hiyo.
Mariam Ibrahim aungana na wanawake wa Pwani kufanya usafi Jimbo la Kibaha
Vijijini
-
Mgombea Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mariam Ibrahim, leo Septemba
18 ameungana na Umoja wa Wanawake wa Mkoa wa Pwani katika zoezi la kufagia
viwa...
6 hours ago
je majumbani yanatoka kaka ?
ReplyDeleteHa ha ha Na hilo nalo neno.
ReplyDeleteHaya yakishajaa huwa yanahifadhiwa. Lakini ya majumbani yakishatumiwa hupotea kaka. Tutafika lakini..