Mdau unakumbuka zile enzi za maji haya yalivyokuwa? nsa kujaza watoto wengi katika maeneo haya kwa kutazama maji ya ragi yalivyokuwa yakipendeza kwa rangi mbalimbali na kupamba Magorofa ya michezani na round abuot hiyo.
KWA SASA NYAMA CHOMA NI VINGUNGUTI KWA KUMBILAMOTO TU…NJOO TUINJOI MTU WANGU
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
Ni mwendo wa nyamachoma tu! Hivi ndivyo unavyoweza kuelezea yanayoendelea
katika soko la nyama choma la Kumbilamoto lililopo Vi...
9 hours ago
je majumbani yanatoka kaka ?
ReplyDeleteHa ha ha Na hilo nalo neno.
ReplyDeleteHaya yakishajaa huwa yanahifadhiwa. Lakini ya majumbani yakishatumiwa hupotea kaka. Tutafika lakini..