KATIBU Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Saleh Mohammed Jidawi (kushoto) akitia saini na Mwenyekiti wa Taasisi ya (HIPZ) Dk.Ruaraidh Macdonagh, Makubaliano ya Mradi wa Kuimarisha Huduma ya Afya Zanzibar kupitia taasisi hiyo ya (HIPZ) kutoa huduma katika hospitali ya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja, hafla hiyo imefanyika Wizara ya Afya Mnazimmoja.
Waziri Dkt.Tax amkabidhi gari jipya Mkuu wa Majeshi wa Kwanza Mstaafu
Jenerali Sarakikya
-
Na Mwandishi wetu
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence
Tax (Mb) tarehe 06 Juni, 2025 amemkabidhi Mkuu wa Majeshi wa kwa...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment