Habari za Punde

HIPZ yatiliana saini na Wizara ya Afya Zanzibar

KATIBU Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar  Saleh Mohammed Jidawi (kushoto) akitia saini na Mwenyekiti wa Taasisi ya (HIPZ) Dk.Ruaraidh Macdonagh, Makubaliano ya Mradi wa Kuimarisha Huduma ya Afya Zanzibar kupitia taasisi hiyo ya (HIPZ) kutoa huduma katika hospitali ya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja, hafla hiyo imefanyika Wizara ya Afya Mnazimmoja.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.