Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi Mchango wa Shilingi Milioni Moja, Mkurugenzi wa Kikundi cha Zanzibar One Taarab Ustadhi Abdulla Ali
{ Du } kufuatia ahadi yake aliyoitowa 21/4/2012 wakati wa kilele cha Maadhimisho ya kutimia miaka mitano ya Kikundi hicho yaliofanyika katika Ukumbi wa Bwawani , makabidhiano hayo yamefanyika Ofisi ya Makamu Vuga,(Picha na Hassan Issa OMKR).
No comments:
Post a Comment