Mfanyakazi wa ZANTEL, Mohd Issa akiutambulisha Mtanda wao Mpya wa Internet 3G katika viwanja vya Michezani Kisonge, kwa Wateja waliofika katika viwanja hivyo.
Wananchi wakipata maelezo ya matumizi ya mtandao mpya wa Internet wa 3G, kutoka kwa Wafanyakazi wa Zantel, walipokuwa wakiutambulisha mtandao huo kwa wananchi katika maeneo ya Zanzibar.
No comments:
Post a Comment