Mchezaji wa timu ya Jeshi Mwanajuma John(GD) akiwa na mpira golini kwa timu ya Mafunzo na mlizi wa Mafunzo Siwa Juma(GK) akijiandaa kumzuiya katika mchezo wa ligi ya Netiboli Zanzibar inayofanyika uwanja wa Gymkhana, timu ya Mafunzo imeshinda 52 -- 13.
Mchezaji wa timu ya Jeshi Rehema Hussein (GS) akidaka mpira na kumpoteza mlizi wa timu ya Mafunzi Siwa Juma.(GK)
Mpata mpatae golini kwa timu ya Mafunzo hiyooo
Mchezaji wa timu ya Mafunzo Iren Moses,(GA) akidaka mpira huku mlinzi wa timu ya Jeshi Mwanajuma John (GD) akijiandaa kumzuiya.
Asante sana nilikuwa mchezaji wa Netball nashukuru wenzangu bado wanaendeleza. Ahsante sana kwa kutuonyesha sports mbali mbali.
ReplyDelete