Habari za Punde

Viwanja vya Kupima Vinauzwa Tunguu


Kuna Viwanja viwili vya kujenga nyumba na fensi urefu ni 70 fts na upana ni 60fts vipo Tunguu vimekamatana na ukuta wa jengo jipya la  Zanzibar University.

Utaweza kuwekeza kujenga kukaa mwenyewe au kuwekeza kwa kuwakodisha wanafunzi  kwani Chuo Kikuuu karibuni kitafunguliwa Campus ya Tunguu.

Viwanja vyote vina hati milki kamili original toka ardhi na hupitii kwa dalali unahusika na mwenyewe moja kwa moja.

Kama uko interested au unahitajia maelezo zaidi  wasiliana na

Umar Ahmad 0773 823825

5 comments:

  1. Mimi nipo interested na kimoja lkn. uhakika wa kubadilisha hati ukoje?

    Nimeskia kuna ugumu kubadilisha hati Bodi inayohusika na mambo hayo haijaundwa.

    Na nilijaribu kucheki na mtu wa benki akanambia siwezi kupata mkopo mpaka hati iwe na jina langu.

    Naomba nisaidie majibu tuwasiliane!

    ReplyDelete
  2. TUDOKEZE NA BEI ILI TUJIPANGE.

    ReplyDelete
  3. Mambo ya kwetu bana!..namba aliyotoa haipatikani.

    ReplyDelete
  4. nasikia tunguu wanavunjiwa ni tunguu ipi io naomba kujua

    ReplyDelete
  5. eti ni tunguu ipi watu wanavunjiwa

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.