Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Umoja wa wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu nchini (TAHLISO) walipomtembelea Ikulu jijini Dar es salaam siku ya Jumatano Julai 4, 2012. Viongozi hawa walikuwa wakihudhuria kongamano la mabadiliko ya katiba lililokuwa linafanyika katika ukumbi wa Karimjee.
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Yapokea Karatasi za Kupigia Kura Uchaguzi
Mkuu 2025
-
Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Thabit Idarous Faina
(kushoto) akisaini hati za makabidhiano ya Karatasi za Kupigia Kura na
Mkurugenzi Mte...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment