Baadhi ya Wachezaji wa Timu ya Yanga wakiwa katika Boti ya Kilimanjaro wakirudi Mjini Dar-es-Salaam, baada ya kuondolewa katika michuano hiyo kukiuka makubaliyao na Chama cha Mpira Zanzibar kwa kuleta timu ya Kikosi cha Pili baada ya cha kwanza, ilibidi kurudishwa nyumbani baada ya kuchezo mmoja na timu ya Jamuhuri uliofanyika jana usiku uwanja wa Amaan, na timu hiyo kufungwa 3-2.
TEITI YAWEKA WAZI RIPOTI YA 15 YA MWAKA WA FEDHA 2022/2023
-
TANZANIA ikiwa ni nchi mwanachama wa EITI imeendelea kutekeleza Matakwa ya
Kimataifa ya EITI ambapo kila mwaka nchi mwanachama wa Asasi ya EITI
inatak...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment