Baadhi ya Wachezaji wa Timu ya Yanga wakiwa katika Boti ya Kilimanjaro wakirudi Mjini Dar-es-Salaam, baada ya kuondolewa katika michuano hiyo kukiuka makubaliyao na Chama cha Mpira Zanzibar kwa kuleta timu ya Kikosi cha Pili baada ya cha kwanza, ilibidi kurudishwa nyumbani baada ya kuchezo mmoja na timu ya Jamuhuri uliofanyika jana usiku uwanja wa Amaan, na timu hiyo kufungwa 3-2.
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan ahutubia
wananchi wa majimbo ya Ilala, Segerea, Kivule na Ukonga katika uwanja wa
Kecha Kinyerezi Jijini Dar es Salaam
-
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan
akizungumza ...
17 hours ago

No comments:
Post a Comment