Mwakilishi wa Jimbo la Rahaleo Nassor Salim Jazira akimkabidhi shilingi 2,500,000/= Kiongozi wa Timu ya Mkoa wa Mjini Magharibi inayoshiriki michuano ya Afrika Mashariki kwa timu za Vijana wa U-17, makabidhiano hayo yamefanyika katika moja ya Kumbi za Baraza la Wawakilishi Chukwani.
TPDC YANG'ARA KATIKA MAONESHO YA 49 YA SABASABA, YASHINDA TUZO YA MAZINGIRA
-
SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeibuka mshindi katika
Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam, maarufu kama
Sabasaba, b...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment