Mwakilishi wa Jimbo la Rahaleo Nassor Salim Jazira akimkabidhi shilingi 2,500,000/= Kiongozi wa Timu ya Mkoa wa Mjini Magharibi inayoshiriki michuano ya Afrika Mashariki kwa timu za Vijana wa U-17, makabidhiano hayo yamefanyika katika moja ya Kumbi za Baraza la Wawakilishi Chukwani.
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan ahutubia
wananchi wa majimbo ya Ilala, Segerea, Kivule na Ukonga katika uwanja wa
Kecha Kinyerezi Jijini Dar es Salaam
-
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan
akizungumza ...
13 hours ago
No comments:
Post a Comment