Warembo wanaotarajia kupanda jukwaani kuwania
Taji la Miss Vyuo Vikuu 2012, siku ya Ijumaa wiki hii katika Ukumbi wa Maisha
Club, wakipozi kwa picha ya pamoja nje ya Ukumbi wa Bunge, wakati warembo hao
walipofika kutembelea na kujifunza shughuli za Bunge mjini Dodoma Leo, Julai
03, 2012.
GCLA INAENDELEA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KATIKA MAONESHO SABASABA
-
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlakla ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Dkt. Adam Fimbo
(kulia) akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Mamlaka ya
Maabara ya ...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment