Habari za Punde

Ligi Kuu Zanzibar Chipukizi 3 - Jamhuri - 0

 
Mlinzi wa timu ya Jamhuri Mohamed Othuman Mmanga (16) akimdhibiti mshambuliaji wa timu ya Chipukizi Abdullatif Abdallah, ili asilete madhara katika lango lake, kwenye mchezo wa ligi Kuu ya Zanzibar ‘Grand Malt’ mchezo uliochezwa jana uwanja wa Gombani Pemba, ambapo Chipukizi ilifanikiwa kutoroka na magoli 3-0 dhidi ya Jamhuri (picha na Haji Nassor, Pemba)


Nahodha wa timu ya Jamhuri Mfaume Shaaban (jezi no 29) akipapatuana na mshambuliaji wa timu ya Chipukizi Faki Mwalimu kwenye mchezo wa ligi Kuu ya Zanzibar ‘Grand Malt’ uliochezwa uwanja wa Gombani ambapo Chipukizi iliibuka na ushindi wa magoli 3-0 mawili yakifungwa na Faki Mwalimu (picha na Haji Nassor, Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.