Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein,akifungua pazia kama ishara ya uzinduzi wa Kituo cha Polisi cha Fumba Mkoa Mjini Magharibi leo,(kulia) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi
Abdalla Mwinyi Khamis,na Kamishna wa Polisi Zanzibar Mussa Ali Mussa
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein,akikata utepe ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa Kituo cha Polisi cha Fumba Mkoa Mjini Magharibi leo,(kulia) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Abdalla Mwinyi Khamis,na Kamishna wa Polisi Zanzibar Mussa Ali Mussa
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein,akipata maelezo kutoka kwa Kamishna wa Polisi Zanzibar Mussa Ali Mussa,alipokitembelea Kituo cha Polisi cha Fumba Mkoa Mjini Magharibi
leo,baada ya kufanya ufunguzi rasmi wa kituo hicho kilichojengwa na jeshi hilo,(katikati) Mke wa Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Pili Balozi Seif Iddi
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akimkabidhi cheti Meneja Masoko wa Benki ya PBZ Seif Suleiman Mohammed,kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Watu wa Zanzibar LTD, ikiwa ni miongoni taasisi zilizochagia katika ujenzi wa Kituo cha Polisi cha Fumba Mkoa Mjini Magharibi,wakati wa hafla ya ufunguzi wa kituo hicho leoMke
wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein,akimkabidhi cheti Mkurugenzi wa Biashara na Huduma za Wateja,Mussa Ramadhan Haji,kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya
Maji (ZAWA) ikiwa ni miongoni waliochagia katika ujenzi wa Kituo cha Polisi cha Fumba Mkoa Mjini Magharibi,wakati wa hafla ya ufunguzi wa kituo hicho leo.
Baadhi ya Maofisa mbali mbali wa Jeshi la Polisi Zanzibar wakimsikiliza Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akizungumza na wananchi wakati wa sherehe za ufunguzi wa Kituo cha Polisi Fumba Mkoa wa Mjini Magharibi leo
Picha zote na Ramadhan Othman , Ikulu
MRADI WA BOOST YATIMIZA ILANI YA CCM ELIMU BORA SHULE YA MSINGI ILBORU-
ARUSHA
-
Mradi wa Kuboresha na Kuimarisha Elimu ya Msingi na Awali Tanzania Bara(
BOOST) unaotekelezwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, umekuwa
sehemu ya ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment