Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Major Mstaafu
Juma Kassim Tindwa, akizungumza na wananchi na viongozi wa Serikali katika
hafla ya kuteketeza misumeno ya moto (chanson) halfla iliofanyika jana Idara ya
Kilimo Machomane Chake chake Pemba, kulia ni Ofisa Mdhamini Wizara ya Kilimo na
Maliasali Pemba dk Suleiman Shehe Mohamed na kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa
Wizara hiyo Bakari Assedi (picha na Haji
Nassor, Pemba)
Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Major Mstaafu Juma
Kassim Tindwa, wa tatu kushoto, akiwa na watendaji wa ngazi mbali mbali za
Serikali pamoja na makamanda wa Polisi wakiangalia mabaki kwenye hafla ya
kuiteketeza misumeno sita ya moto huko Idara ya Kilimo Machomane Chake chake
Pemba (picha na Haji Nassor, Pemba )
Sasa what is the story hapa? Is the story kuteketezwa misumeno? Unajua ingekuwa ni bangi ningejua tatizo. lakini misumeno ina tatizo gani?
ReplyDelete