TANZANIA YATHIBITISHA DIRA YAKE YA KIMATAIFA KUHUSU MAGEUZI YA MIFUMO YA
CHAKULA DUNIANI
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi
Mahmoud Thabit Kombo akizungumza kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanza...
10 hours ago
Hiyo ni timu ya Zanzibar Kombaini.Waliyomo humo katika picha ni pamoja na Ambar,Dingo,Chunda,Salhina,Golikipa Shah,Salum Kishore,Shafi.Hao ni baadhi ambao nawakumbuka waliomo katika hiyo picha.
ReplyDeleteNadhani hii ni timu ya Miembeni ya enzi hizo. Ninayemfahamu kwa haraka ni wa kwanza kushoto waliosimama ni Ambar ( mdogo wake Malik) aliesimama kati kati ni Yussuf Omar Chunda,pembeni mwa chunda kulia ni Ghulam Abdullah? timu hii kama sikosei ilikuwa na kina Salihina winga machachari wa enzi hizo
ReplyDeleteSuala la uchokozi, enzi hizo walikuwa wakicheza kumi tu uwanjani?
ReplyDeleteHichi kikosi cha Timu ya miembeni miaka hiyo hapo kuna Ambar chunda,Gulam Mgeni Mwalimu salihina ambao nawakumbuka
ReplyDelete