
Kocha wa Timu ya Taifa ya Zanzibar Heroes akiwasalimia mashabiki waliofika bandarini kuwapokea Wachezaji wa timu hiyo mara baada ya kuwasili kutokea Dar es salam.

Baadhi ya wachezaji wa Timu ya Taifa ya Zanzibar Heroes wakimskiliza Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni Utalii na Michezo Bihindi Hamadi hayupo pichani huko katika hoteli ya Bwawani aliyewapokea kwa niaba ya Serikali.

Nahodha wa timu ya Zanzibar Hereos Nadir Haroub Kanavaro akiishukuru Serekali ya Zanzibar kwa mashirikiano iliyotoa kwa timu hiyo.

Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni na Michezo Bihindi Hamadi akiwashukuru wa wachezaji pamoja na viongozi wao kwa ushindi walioupata wa nafasi ya tatu katika mashindano ya Challenge Uganda.
PICHA NA MAKAME MSHENGA-MAELEZO ZANZIBAR.
No comments:
Post a Comment