Habari za Punde

Zanzibar Heroes v Harambee Stars katika picha


Wachezaji wa Zanzibar Heroes na wa Kenya wakiwani mpira wakati wa mchezo wa nusu fainali ya kwanza ya michuano ya Cecafa Challenge uliofanyika katika Uwanja wa Mandela Nambole Jijini Kampala

Wachezaji wa Zanzibar Heroes na wa Kenya wakiwani mpira wakati wa mchezo wa nusu fainali ya kwanza ya michuano ya Cecafa Challenge uliofanyika katika Uwanja wa Mandela Nambole Jijini Kampala.



Wachezaji wa Zanzibr Heroes wakishangilia goli la pili lililofungwa na Aggrey Morris kwa njia ya penelti wakati wa mchezo wa nusu fainali ya kwanza ya michuano ya Cecafa Challenge uliofanyika katika Uwanja wa Mandela uliopo Nambole Jijini Kampala

Picha kwa hisani ya Shafi dauda



Kikosi cha Zanzibar Heroes kilichopambana na timu ya Taifa ya Kenya


Kikosi cha Harambee Stars ya Kenya kilichopambana na Heroes


Wachezaji wa Zanzibar Heroes wakiwa hawaamini kilichotokea baada ya Mike Baraza kufunga bao la pili la kusawazisha


Wachezaji wa Zanzibar Heroes wakishangiria kwa njia ya kumshukuru Mungu baada ya Khamis Mcha 'Vialli' kuandika bao la kwanza


Khamis Mcha alipomuacha beki wa Kenya akibaki kutazama tu

Adeyom Ahmed akiudhibiti mpira kwa kujiamini pamoja na kumdhibiti beki wa Kenya


Beki wa Zanzibar, Aggrey Morris akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili kwa penalti, Uwanja wa Mandela, Namboole katika Nusu Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Tusker Challenge usiku wa leo. Zanzibar ilifungwa kwa penalti 4-2 na sasa itamenyana na Bara katika mchezo wa kusaka mshindi wa tatu Jumamosi.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.