Meli ya Kampuni ya Azam Marine ikiondoka katika bandari ya Zanzibar kuelekea Kisiwani Pemba baada ya kupakia abiria, Hali ya Usafi kati ya Zanzibar na Pemba umekuwa wa uhakika baada ya meli hii kuaza kutoa huduma hiyo ya usafiri kama inavyoonekana pichani.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment