Meli ya Kampuni ya Azam Marine ikiondoka katika bandari ya Zanzibar kuelekea Kisiwani Pemba baada ya kupakia abiria, Hali ya Usafi kati ya Zanzibar na Pemba umekuwa wa uhakika baada ya meli hii kuaza kutoa huduma hiyo ya usafiri kama inavyoonekana pichani.
TMDA YAENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA MATUMIZI SAHIHI YA DAWA NDANI YA
SABASABA
-
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) inashiriki katika Maonesho ya 49 ya
Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam maarufu kama Sabasaba, kwa lengo la
kutoa...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment