Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Ali Juma Shamhuna akimpokea Mkurugenzi Mkuu wa Unesco Irina Bokova katika Uwanja wa Ndege wa Zanzibar.ambaye atakuwapo Zanzibar kwaZiara ya siku Mbili kutembelea maeneo ya Mji Mkongwe wa Zanzibar
Mkurugenzi Mkuu wa Unesco Irina Bokova akisalimiana na Viongozi mbalimbali waliokuja kumpokea katika Uwanja wa Ndege wa Zanzibar,ambaye atakuwapo Zanzibar kwa Ziara ya siku Mbili kutembelea maeneo ya Mji Mkongwe wa Zanzibar
No comments:
Post a Comment