Baadhi ya Vitambulisho ambavyo vimeachwa katika Ofisi za Vitambulisho Kisiwani Pemba ambovyo Wenye hawakujitokeza kuchukuwa Vitambulisho hivyo na kubaki kwa muda mrefu..
Mkurugenzi wa Idara ya Vitambulisho Zanzibar Mohammed Ame Juma, akiwaonesha Wabunge Wawakilishi na Madiwani Vitambulisho ambavyo Vimekuwa katika Ofisi za Vitambulisho Pemba katika Mikoa ya Kusini na Kaskazini bila ya Wenyewe kujitokeza kuvichukuwa vikiwa vimekaa kwa muda mrefu.
Hali halisi ya Vitambulisho vikiwa vimekaa kwa muda mrefu katika Ofisi za Vitambulisho Kisiwani Pemba bila ya wenyewe kujitokeza kuvichukuwa.
Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba,Dadi Faki, akifunguwa Mkutano wa Wawakilishi na baadhi ya viongozi wa Shehia na Madiwani kujadili suala la Vitambulisho vya Mzanzibari huko Wete.
Mkurugenzi wa Vitambulisho vya Mzanzibari,
akieleza jambo kwa Wawakilishi, Masheha na Madiwani juu ya Vitambulisho. huko
Pemba.
Waziri Wa Nchi Ofisi Rais na Mwenyekiti
wa baraza la Mapinduzi, Mwinyihaji Makame, akieleza jambo kwa Wawakilishi,
Masheha na Madiwani , juu ya suala zima la mashirikiano katika kazi.
Naibu Katibu Mkuu Wa Cuf, Hamad Massoud ,
akitowa rai juu ya Ugawaji Wa Vitambulisho Vya Mzanzibar Huko Mkoani Pemba.Picha zote na Bakari Mussa Pemba
No comments:
Post a Comment