MENEJA wa benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ)
tawi la Pemba Haji Machano Haji akimkabidhi trak suti na jezi 25, nahoza wa
klabu ya Jamhuri ya Wete Pemba Mfaume Shaaban kwa ajili ya mchezo wa marejeano
wa klabu bingwa barani Afrika baina yao na ST: George wiki mbili zijazo nchini
Ethiopia, anaeshuhudia ni Mkurugenzi wa fedha Jamhuri Salim Ubwa Nassor, (picha na Haji Nassor, Pemba)
DKT MPANGO AIOMBA BENKI YA CRDB KUTOA ELIMU YA FEDHA AKIZINDUA TAWI BUHIGWE
-
Buhigwe. Tarehe 27 Agosti 2025: Akizindua tawi la Benki ya CRDB wilayani
Buhigwe pamoja na kupokea madarasa mawili ya shule ya sekondari, Makamu wa
Rais, ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment