MENEJA wa benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ)
tawi la Pemba Haji Machano Haji akimkabidhi trak suti na jezi 25, nahoza wa
klabu ya Jamhuri ya Wete Pemba Mfaume Shaaban kwa ajili ya mchezo wa marejeano
wa klabu bingwa barani Afrika baina yao na ST: George wiki mbili zijazo nchini
Ethiopia, anaeshuhudia ni Mkurugenzi wa fedha Jamhuri Salim Ubwa Nassor, (picha na Haji Nassor, Pemba)
GCLA INAENDELEA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KATIKA MAONESHO SABASABA
-
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlakla ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Dkt. Adam Fimbo
(kulia) akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Mamlaka ya
Maabara ya ...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment