MENEJA wa benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ)
tawi la Pemba Haji Machano Haji akimkabidhi trak suti na jezi 25, nahoza wa
klabu ya Jamhuri ya Wete Pemba Mfaume Shaaban kwa ajili ya mchezo wa marejeano
wa klabu bingwa barani Afrika baina yao na ST: George wiki mbili zijazo nchini
Ethiopia, anaeshuhudia ni Mkurugenzi wa fedha Jamhuri Salim Ubwa Nassor, (picha na Haji Nassor, Pemba)
TTCL YAZINDUA KIFURUSHI CHA HUDUMA MLANGONI MWAKO
-
Na Mwandishi Wetu
Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limezindua kifurushi cha huduma ya
Faiba Mlangoni kwako kwa ajili ya kumuwezesha mteja kupata hud...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment