Habari za Punde

Wadau ndani ya Mji wa Kigoma

Wadau wa Habari wakiwa Kigoma kufatilia maadhimisho ya sherehe za Chama Cha Mapinduzi zilizofanyika Kitaifa Mkoani Kigoma leo, wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Mhe. Abrahaman Kinana akizungumza jamba na wanahabari hao wakati wakimngojea Mhe. Jakaya kwasili.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.