Wadau wa Habari wakiwa Kigoma kufatilia maadhimisho ya sherehe za Chama Cha Mapinduzi zilizofanyika Kitaifa Mkoani Kigoma leo, wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Mhe. Abrahaman Kinana akizungumza jamba na wanahabari hao wakati wakimngojea Mhe. Jakaya kwasili.
Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Kati ya Malindi na JKU Mchezo
Uliyofanyika Uwanja wa Maom Zedung Timu hizi Zimetoka Sare ya Bao 1-1
-
Wachezaji wa Timu ya JKU na Malindi wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa
Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ,mchezo uliyofayika katika Uwanja wa Mao Zedung
Jijin...
12 hours ago
No comments:
Post a Comment