Waandishi wa habari wa vyombo mbali mbali wakimsikiliza Waziri wa Habari,Utalii Utamaduni na Michezo, Said Ali Mbarouk (hayupo pichani) akizungumzia jinsi ya utaratibu wa Digitali utakavyoanza na upatikanaji wa Vingamuzi huko ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Zanzibar.
Waziri wa Habari,Utalii Utamaduni na Michezo, Said Ali Mbarouk akizungumza na wandishi wa habari jinsi ya utaratibu wa Digitali utakavyoanza na upatikanaji wa Vingamuzi huko ukumbi wa Salama, Bwawani Mjini Zanzibar.
PICHA NA YUSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR
No comments:
Post a Comment