Wafanyabiasha katika eneo la Darajani ilibidi kutumia miavuli kukinga biashara zao kutokana na mvua inayonyesha katika manispa hiyo na kukosa wateja wa bidhaa hizo katika kipindi hichi wakiwa wamejivunika miavuli kusubiri wateja wao.
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan ahutubia
wananchi wa majimbo ya Ilala, Segerea, Kivule na Ukonga katika uwanja wa
Kecha Kinyerezi Jijini Dar es Salaam
-
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan
akizungumza ...
42 minutes ago
No comments:
Post a Comment