Wafanyabiasha katika eneo la Darajani ilibidi kutumia miavuli kukinga biashara zao kutokana na mvua inayonyesha katika manispa hiyo na kukosa wateja wa bidhaa hizo katika kipindi hichi wakiwa wamejivunika miavuli kusubiri wateja wao.
SERIKALI YAENDELEA KUIMARISHA UONGOZI NA USIMAMIZI WA ELIMU KUPITIA MAFUNZO
KWA VIONGOZI WA SHULE
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICUZI TV
SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeendelea
kuimarisha uongozi na usimamizi wa elimu nchini kwa kutoa...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment