Hivi ndivyo inavyokuwa wakati wa kuyafanyia ukarabati mkubwa wa majumba ya mji mkongwe kwa kutumia miti kuzuiya ukuta wakati ujenzi huo ukifanyika kama inavyoonekana nyumba hii ilioko katika mtaa wa kokoni ikiwa katika ukarabati ukifanyika ili kuiweka nyumba hiyo katika ubora na uimara wake na kuwa na uimara wake kwa kuwa makazi ya wananchi wanaoishi katika nyumba hiyo.
SERIKALI YAENDELEA KUIMARISHA UONGOZI NA USIMAMIZI WA ELIMU KUPITIA MAFUNZO
KWA VIONGOZI WA SHULE
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICUZI TV
SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeendelea
kuimarisha uongozi na usimamizi wa elimu nchini kwa kutoa...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment