Hivi ndivyo inavyokuwa wakati wa kuyafanyia ukarabati mkubwa wa majumba ya mji mkongwe kwa kutumia miti kuzuiya ukuta wakati ujenzi huo ukifanyika kama inavyoonekana nyumba hii ilioko katika mtaa wa kokoni ikiwa katika ukarabati ukifanyika ili kuiweka nyumba hiyo katika ubora na uimara wake na kuwa na uimara wake kwa kuwa makazi ya wananchi wanaoishi katika nyumba hiyo.
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan ahutubia
wananchi wa majimbo ya Ilala, Segerea, Kivule na Ukonga katika uwanja wa
Kecha Kinyerezi Jijini Dar es Salaam
-
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan
akizungumza ...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment