Hivi ndivyo inavyokuwa wakati wa kuyafanyia ukarabati mkubwa wa majumba ya mji mkongwe kwa kutumia miti kuzuiya ukuta wakati ujenzi huo ukifanyika kama inavyoonekana nyumba hii ilioko katika mtaa wa kokoni ikiwa katika ukarabati ukifanyika ili kuiweka nyumba hiyo katika ubora na uimara wake na kuwa na uimara wake kwa kuwa makazi ya wananchi wanaoishi katika nyumba hiyo.
DKT.BITEKO - VYOMBO VYA HABARI VIWE WALINZI WA AMANI UCHAGUZI MKUU 2025
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, ametoa wito kwa
vyombo vya habari na waandishi nchini kote kuhakik...
29 minutes ago
No comments:
Post a Comment