Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akihutubia wakati wa ufunguzi wa maonesho ya Mei Mosi katika viwanja vya Amaan.
Kaimu Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika Haji Omar Kheri, akihutubia katika ufunguzi wa maonesho hayo yanayofanyika katika viwanja vya Amaani
Ofisa wa TUICO akisoma hutuba ya Wafanyakazi katika uzinduzi wa maonesho ya Mei Mosi yanayofanyika katika viwanja vya Amaan.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar akikata utepe kuashiria kufunguwa Maonesho ya Wafanyakazi ya Mei Mosi katika viwanja vya Amaan,
Afisa Masoko wa Shirika la Posta Kanda ya Zanzibar Suwed akitowa maelezo ya huduma yao wanayotowa kwa Wananchi katika maonesho ya Mei Mosi na kutowa maelezo ya huduma mpya walizozianzisha hivi karibuni jinsi zinavyotowa fursa kwa wananchi kupunguza usumbufu kwa wateja wake wakati wa maonesho ya mei mosi.
Mfanyakazi wa Idara ya Mifugo akitowa maelezo ya ufugaji wa Kuku wa Nyama na Mayai katika maonesho ya Mei Mosi
Wanafunzi wa Kituo cha Amali Mkokotoni, wakionesha jinsi ya mafunzo ya amali wanayopata katika wa katika kituo hicho wakati wa maonesho hayo.
Wafanyakazi wa Kampuni ya soda ya COCA COLA wakionesha bidhaa yao ya iana ya Soda ya ZERO, katika maonesho hayo wakiwa katika banda lao wakisubiri uzinduzi wa maonesho hayo ya mei mosi na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad.
Kwa wenye kupenda coca cola tuwe pole angalia hii
ReplyDeletehttp://metro.co.uk/2012/06/27/coca-cola-and-pepsi-contain-traces-of-alcohol-482866/
na hao wanaosema grand malt haina kilevi watajitetea vipi ikiwa coca cola ina kilevi , jee hii ambayo ina kila harufu na ladha ya pombe kuambiwa haina kilevi inaingia akilini? Nimefikisha ujumbe msije kusema hakuwa na taarifa.