Habari za Punde

Kilimanjaro IV kuwasili mwisho wa mwezi





Hii ndio boti  mpya ya Kilimanjaro 4. Inategemewa kufika hapa mwishoni wa mwezi huu wa tano au mwanzoni mwa mwezi wa sita.
 
Inauwezo wa kubeba abiria 700 na kutumia muda wa dakika 70 kwa safari moja ya kwenda Zanzibar au Dar Es Salaam.
 
Ni boti mpya kabisa katika muendelezo wa boti za Kilimanjaro.
 
Boti hii itakidhi kiu ya wasafiri wa eneo hili kwa kuwa itakuwa na sifa zote, ambazo ni Usalama, Kasi zaidi, na unadhifu.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.