Habari za Punde

Ziara ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja


Baadhi ya wananchi na wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM,waliohudhuria katika uzinduzi wa Maskani wa Msuguri ya Nungwi, Wilaya ya Kaskazini A,akiwa katika ziara ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi katika Mkoa wa kaskazini Unguja

Kikundi cha wasanii cha ngoma ya Mchikicho cha Nungwi wakiburudisha katika mkutano wa wanachama na wananchi na wapenzi wa Chama cha Mapinduzi uliohutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiwa katika ziara ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi katika Mkoa wa kaskazini Unguja

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akifungua pazia kuweka jiwe la msingi maskani ya Amani na Utulivu ya Nungwi Wilaya ya Kasakazini A Unguja leo,akiwa katika ziara ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi

Mwanachama wa CUF aliyejitoa katika chama hicho Machu Kombo Ali,alipokuwa akitoa ushuhuda wake mbele ya umati wa Wana CCM,katika mkutano ulihutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiwa katika ziara ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kaskazini Unguja leo

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimkabidhi kadi Mwnachama mpya wa CCM Ali Makame Haji,katika mkutano wa wananchi na wanachama wa CCM wa Nugwi Wilaya ya Kaskazini A Unguja,katika ziara ya kuimarisha Chama leo

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akizungumza na wananchi na wanachama wa CCM Jimbo la Nungwi, katika ziara ya kuimarisha Chama leo. [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.