Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria, Jaji Mshibe Ali Mbarouk, akizungumza na Polisi, Masheha na wananchi wa Wilaya ya Micheweni Pemba, (ambao hawapo pichani) juu ya umuhimu kutiliana mikataba wakati wanapouziana vitu vya aina yoyote ile
Sheha wa shehia ya
Micheweni Mjini Dawa Juma Mshindo, akizungumza jambo, mbele ya mwenyekiti wa
Tume kurekebisha Sheria Jaji Mshibe Ali Mbarouk, huko Micheweni Pemba. juu ya
umuhimu kutiliana mikataba wakati wanapouziana vitu vya aina yoyote ile.
(Picha zote na Abdi Suleiman, Pemba).
No comments:
Post a Comment