Wafanya biashara ya samaki katika eneo la Maisara Kizingo wakitowa maelekezo ya wateja wao wapi wako baada ya kukubali amri ya manispa ya Zanzibar kuondoka eneo hilo ambalo haliruhusiwi kufanya biashara kutokana na kuweka mazingira mazuri eneo hilo.
Maaskofu, Masheikh nyanda za juu wahimiza uchaguzi wa amani
-
Na Mwandishi Wetu, Mbeya
VIONGOZI wa dini kutoka mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wamewataka Watanzania
kujitokeza kwa wingi kushiriki Uchaguzi Mkuu utakaofan...
2 hours ago
he he he..Zanzinews kiboko ya stress bwana wee...Hongera Mapara hilo bango limenichekesha kweli kweli ni comedy ya aina, hata mimi nikilisoma linaniacha hoi sijui mtalii akitafsiriwa litamchanganya kinoma.
ReplyDelete