Wafanya biashara ya samaki katika eneo la Maisara Kizingo wakitowa maelekezo ya wateja wao wapi wako baada ya kukubali amri ya manispa ya Zanzibar kuondoka eneo hilo ambalo haliruhusiwi kufanya biashara kutokana na kuweka mazingira mazuri eneo hilo.
PPAA yatoa elimu matumizi ya Moduli Wiki ya Utumishi wa Umma
-
Na Mwandishi wetu, Dodoma
Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imeshiriki maadhimisho ya
kitaifa ya Wiki ya Utumishi wa Umma, yanayojumuisha Wi...
58 minutes ago
he he he..Zanzinews kiboko ya stress bwana wee...Hongera Mapara hilo bango limenichekesha kweli kweli ni comedy ya aina, hata mimi nikilisoma linaniacha hoi sijui mtalii akitafsiriwa litamchanganya kinoma.
ReplyDelete