MAFUNDI wa shirika la Umeme Tawi la Pemba, wakiwa katika harakati za kuunyoosha waya mkubwa wa umeme kwa ajili ya kubadilishwa laini katika tasfoma inayotakiwa kuhamishwa, iliyopo kwenye soko la chake chake Pemba. (picha na Abdi Suleiman, Pemba.)
MAFUNDI wa shirika la Umme Tawi la Pemba, ZECO wakiwa kifungua tansfoma kubwa iliyopo katika eno la solo la Chake Chake, kwa lengo la kuhamisha na kuiweka sehemu nyengine, Tansfoma hiyo kwa muda mrefu ilikuwa ikiripuka ripuka moto kila wakati. (picha na Abdi Suleiman, Pemba.)
KAFULILA AWAKOSHA WASOMI CHUO KIKUU AKIELEZA UMUHIMU WA PPP KUELEKEA
TANZANIA YA 2050
-
*Asisitiza nafasi ya kuwa na rasilimali watu wenye Maarifa kufikia lengo
*Achambua hoja za wasomi akieleza nafasi ya PPP katika kutekeleza miradi
Na Said M...
2 hours ago
Yaani hili ndio soko la Chake-chake...hii sio nyumba ya mtu?...itakua mpiga picha amekosea.
ReplyDeleteNa kama ni kweli hili ndio soko, basi watu wa sehemu hii hawana haja ya kuwa na mwakilishi au Mbunge.
Na kama wana mwalikishi na mbunge basi itakua ni kutoka chama cha PONA, SAU, JAHAZI au NRA!