Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DkAli Mohamed Shein,na ujumbe wake wakiwa katika picha ya pamoja na Meya wa Manispaa ya Mji wa Xiamen nchini china Liu Keqing, na viongozi wengine wa Mji huo,baada ya mazungumzo yao katika ukumbi wa Concert Hall,alipoandaliwa Chakula cha Jioni , akiwa katika ziara ya kiserikali kwa mualiko wa Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akiwa katika chakula cha Jioni na ujumbe wake walichoandaliwa na Meya wa Mji wa Xiamen Liu Keqing, baada ya mazungumzo yao katika ukumbi wa mikutano wa Concent Hall, akiwa katika ziara ya kiserikali kwa mualiko wa Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimuangalia mpiga Ganon Joice Zhang,wakati alipotembelea Nyumba ya Makumbusho ya Muziki huo huko kisiwa cha Gulangyu Island,jana akiwa katika ziara ya Kiserikali nchini China na ujumbe wake
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimuangalia mpiga Ganon Joice Zhang,wakati alipotembelea Nyumba ya Makumbusho ya Muziki huo huko kisiwa cha Gulangyu Island,jana akiwa katika ziara ya Kiserikali nchini China na ujumbe wake.[Picha na Ramadhan Othman,Xiamen China.]
No comments:
Post a Comment