Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Uholanzi nchini Tanzania, Mhe. Ad Koekkoek, aliyemaliza muda wake nchini, wakati alipofika kumuaga Makamu Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Julai 12, 2013. Picha na OMR
VETA YALETA NEEMA KWA WAFANYAKAZI MAJUMBANI
-
*Wafanyakazi 700 wapata mafunzo vyuo vya VETA
Na Mwandishi Wetu
Wafanyakazi wa majumbani 700 wamepatiwa mafunzo maalum na kutunukiwa vyeti
na Mamlaka ya E...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment