Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Uholanzi nchini Tanzania, Mhe. Ad Koekkoek, aliyemaliza muda wake nchini, wakati alipofika kumuaga Makamu Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Julai 12, 2013. Picha na OMR
Piga Mkwanja Mrefu na Meridianbet Leo
-
JUMAPILI ya kubadilisha maisha yako na Meridianbet imefika leo. Suka jamvi
lako la ushindi siku ya leo na uingie kwenye wale washindi wakubwa ambao
hutan...
5 hours ago

0 Comments