WANANCHI wakiwa nje ya mlango kuu wa kuingia hospitali Kuu ya Mnazi mmoja, wakisubiri kupata ruhusa ya kuingia ndani ya jengo hilo kuonana na Madaktari, utaratibu huu umekuwa usumbufu kwa wagonjwa wanaofika katika hospitali hiyo, kupata huduma muhumu, kutokana na usumbufu wanaopata kutoka kwa walinzi wa hospitali hiyo
INEC YAONDOA FOMU ZA UTEUZI ZA WAGOMBEA KITI CHA RAIS NA MAKAMU WA RAIS
KATIKA UBAO WA MATANGAZO
-
*Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Ndg. Ramadhani
Kailima (kulia) ameongoza watumishi wa Tume kuondoa fomu za uteuzi wa
wagombea w...
1 hour ago
hii ni dhuluma mojawapo miongoni mwa dhuluma , mogjnwa anatakiwa apokewe kwa upole na huruma , sio kuwapanga foleni nje wamesimama , jee wakianguka na kufa hapo kosa la nani?
ReplyDeleteAh hiyo ndo Zanzibar mpaka mlinzi wa mlangoni nae umsujudie na hapo pengine utoe kitukidogo ndo upitishwe
ReplyDeleteNdo maendeleo hayo?,
ReplyDeleteHaya ni matokeo ya watu kukataa kuchangia huduma mbali mbali kwa kisingizio kua Karume alisema itakua bure!
ReplyDeleteNa bado, tutapanga foleni sana, kwasasa tushukuru Mungu kua baadhi ya maradhi sugu kama vile kansa na mengineo tunakimbilia MUHIMBILI na OCEAN ROAD pamoja na kua afya si suala la muungano, wakati wa utawala wa UWAMSHO sijui itakuwaje?