Msimu wa Utalii ukiwa ukipamba moto katika mitaa ya Mji wa Zanzibar kwa watalii wa Mataifa mbalimbali wakitembelea Visiwa vya Zanzibar na Vitongoji vyake kutembelea sehemu za Historia ya Zanzibar na Vivutio vyengine vya Kitalii katika Kisiwa cha Zenj. Kama wanavyoonekana Watalii hawa wakiwa katika mitaa ya Mji Mkongwe wakiwa katika shughuli za Kitalii.
Ofisi ya Ma kamu wa Rais Yaandaa Kongamano la Uchumi wa Buluu
-
Naibu Katibu Mkuu (Muungano) Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Abdallah Hassan
Mitawi akizungumza wakati mkutano na wanahabari kuhusu kongamano la kitaifa
la u...
13 minutes ago
Hili ni jambojema znz, lakini pia nijambo la kusikitisha mapato yanayo tokana na utalii hayaineemeshi znz kwakuwa ina viongozi walafi au wazembe,tukija kwenye kodi wawekezaji wakigeni wanashirikanna na wanyeji kukwepa kodi kamishin ya utlii kimmwya wao kubwa kupipata katika vijumba vya kulala wa geni vinomilikiwa na wazalendo kuwakamua.Tunomba wajirekebishe utalii uwanufaishe waznzibari wote
ReplyDelete