Mpanda vespa akiangalia chombo chake baada ya kugongwa kwa nyuma na gari aina ya SUZUKI, katika maeneo ya barabara ya malindi kwenye mataa, katika ajali hiyo iliyokutanisha gari yenye namba za usajili Z 497 AM, na Vespa yenye namba za usajili Z 417 AA, katika ajali hiyo mpanda vespa amepata majaraha ya kuchunika, kama anavyoonekana pichani mpanda vespa huyo mwenye fulana ya kijanin akiiangalia vespa yake.
KARMA YA UONGOZI: SOMO KWA WANAOHAMASISHA MAANDAMANO
-
Na Mwandishi Wetu
NAJIULIZA maswali ya msingi, kama raia mwenye tafakuri na uzoefu katika
uongozi: je, wanaohamasisha maandamano ni wapinzani, wanaharakat...
13 hours ago

No comments:
Post a Comment