Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wafanyakazi wa Swissport katika uwanja wa
ndege wa kimataifa ya Julius Nyerere wakati akielekea kwenye ndege jioni
ya jana, Jumatatu, Oktoba 28, 2013, kwenda London, Uingereza, kwa ziara ya
kikazi ya siku nne ambako atahudhuria Mkutano wa Kimataifa wa Serikali
Uwazi (Open Government) uliotishwa na Serikali ya Waziri Mkuu
wa Uingereza, Mheshimiwa David Cameroun. Kulia kwake ni Waziri wa Mambo ya Nje
na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe na Meneja wa Shirika la ndege la
Emirates uwanjani hapo Bw. Aboubakar Jumaa. (PICHA NA IKULU)
Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Canada awasili nchini kwa ziara ya
Kikazi
-
Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Canada Mhe. Randeep Sarai amewasili
nchini kwa ziara ya kikazi ya siku Tatu.
Mhe. Sarai anatarajiwa kutembelea miradi m...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment