Wananchi wakiliondoa gari la abiria lenye namba za usajili Z469 BZ, baada ya kupanda kidaraja cha kugawa njia ya kuingilia na kutokea katika barabara inayoelekea mkunazini mnadani. kama inavyoonekana picha wananchi wakiwa katika jitihada za kuiondoa katika kidaraja hicho.e
CRDB YAJAYO NI "NEEMA" TU,KASI YAKE YA UKUAJI NI ASILIMIA 30 HADI 40 KWA
MWAKA.
-
Na.Ashura Mohamed -Arusha
Benki ya CRDB nchini imesema kuwa imefanikiwa kupandisha mapato
yasiyotokana na Mikopo ambayo kwa mwaka 2024 yalikuwa chini to...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment