Mwakilishi wa Jimbo la Mpendae Mohammed Salum Ndimwa na Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Bihindi Hamad, wakifuatilia mchezo wa Fainal wa Karata na Bao uliofanyika katika kikao cha Karata Jangombe jumba la vigae,ikiwa ni maadhimisho ya sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar kutimia miaka 50.
Mchezo wa fainali ukiendelea kwa upinzani mkubwa
MWENYEKITI CCM KATA YA PICHA YA NDEGE AMPA 'TANO' RAIS DKT. SAMIA KUTENGA
FEDHA ZA KUCHOCHEA MAENDELEO
-
VICTOR MASANGU, KIBAHA
Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi (CCM) Kata ya picha ya ndege Grace
Jungulu amempongeza kwa dhati Rais wa awamu ya sita Dkt. Samia ...
23 minutes ago
No comments:
Post a Comment