Mwakilishi wa Jimbo la Mpendae Mohammed Salum Ndimwa na Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Bihindi Hamad, wakifuatilia mchezo wa Fainal wa Karata na Bao uliofanyika katika kikao cha Karata Jangombe jumba la vigae,ikiwa ni maadhimisho ya sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar kutimia miaka 50.
Mchezo wa fainali ukiendelea kwa upinzani mkubwa
Benki ya CRDB Yashinda Tuzo ya Dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji Katika
Jamii Kupitia CRDB Bank Marathon
-
Benki ya CRDB imeshinda tuzo ya dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji katika
Jamii (International CSR Awards 2025) kupitia mbio zake za kimataifa ya
CRDB BANK...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment